Furahia muziki mzuri kutoka kwa msanii wako G dar boy a.k.a Mtoto wakujidai ila wengi wanamwita ndoano alizaliwa mwaka 28,3,1992 katika kitongoji cha matulanga kijiji cha Songambele wilaya ya kongwa mkoa wa Dodoma alianza mziki akiwa mdogo sana kipaji chake kilianza kuonekana mpaka sasa usisahau kusubscribe kushare kulike na kucoment kwenye account yake ili uweze kumsogeza mbele